Tafakari ya Neno la Mungu, Jumanne 3/3/2020
Somo la
Kwanza: Isa 55:10-11
Maana
kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali
huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na
mtu alaye chakula; 11ndivyo
litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure,
bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
Wimbo
wa katikati: Zab 34:3-6,15-18
Wenye
haki,Bwana anawaponya na taabu zao zote.
Nanyi mkiwa katika kusali,
msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa
kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. 8Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua
mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba. 9Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina
lako litukuzwe, Ufalme wako uje, 10 Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko
mbinguni. 11Utupe leo riziki yetu. 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. 13 Na
usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. Kwa kuwa ufalme ni wako, na
nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.14 Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba
yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. 15Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu
hatawasamehe ninyi makosa yenu. Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke,
kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno
yao kuwa mengi. 8Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi
hamjamwomba. 9Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme
wako uje, 10 Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. 11Utupe leo riziki
yetu. 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. 13 Na
usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. Kwa kuwa ufalme ni wako, na
nguvu, na utukufu, hata milele. Amina. 14 Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba
yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. 15Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu
hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Maana
kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali
huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na
mtu alaye chakula; 11ndivyo
litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure,
bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
Wimbo
wa katikati: Zab 34:3-6,15-18
Wenye
haki,Bwana anawaponya na taabu zao zote.
Nanyi mkiwa katika kusali,
msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa
kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. 8Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua
mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba. 9Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina
lako litukuzwe, Ufalme wako uje, 10 Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko
mbinguni. 11Utupe leo riziki yetu. 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. 13 Na
usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. Kwa kuwa ufalme ni wako, na
nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.14 Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba
yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. 15Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu
hatawasamehe ninyi makosa yenu. Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke,
kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno
yao kuwa mengi. 8Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi
hamjamwomba. 9Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme
wako uje, 10 Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. 11Utupe leo riziki
yetu. 12 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. 13 Na
usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. Kwa kuwa ufalme ni wako, na
nguvu, na utukufu, hata milele. Amina. 14 Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba
yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. 15Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu
hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment