Tafakari ya Neno la Mungu, Jumatano 4/3/2020
Somo la
Kwanza: Yon. 3:1-10
1 Neno la BWANA likamjia
Yona mara ya pili, kusema, 2Ondoka,
uende Ninawi, mji ule mkubwa; ukaihubiri habari nitakayokuamuru. 3Basi
Yona akaondoka, akaenda Ninawi, kama Bwana alivyonena. Basi Ninawi ulikuwa mji
mkubwa mno, ukubwa wake mwendo wa siku tatu. 4Yona akaanza kuuingia mji mwendo wa siku moja,
akapaza sauti yake, akasema, Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa. 5Basi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu;
wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata
aliye mdogo. 6 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye
akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za
magunia, na kuketi katika majivu. 7Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji
wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu,
wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala
wasinywe maji; 8bali na wafunikwe nguo za magunia, mwanadamu na
mnyama pia, nao wakamlilie Mungu kwa nguvu, naam, na wageuke, kila mtu akaache
njia yake mbaya, na udhalimu ulio mikononi mwake. 9Ni
nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali,
ili msiangamizwe? 10Mungu
akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi
neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende.
Wimbo
wa katikati : Zab 51:1-2,10-11,16-17
Moyo
uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, Hutaudharau
Makutano walipokuwa wakimkusanyikia, alianza kusema,
Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila
ishara ya Yona. 30Maana, kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa
Waninawi, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu kwa kizazi hiki. 31Malkia wa Kusini ataondoka siku ya hukumu pamoja
na watu wa kizazi hiki, naye atawahukumu kuwa na hatia; kwa sababu yeye alikuja
kutoka ncha za dunia aisikie hekima ya Sulemani; na hapa pana mkubwa kuliko
Sulemani. 32Watu wa Ninawi watasimama siku ya hukumu pamoja
na kizazi hiki, nao watakihukumu kuwa na hatia; kwa sababu wao walitubu kwa
mahubiri ya Yona, na hapa pana mkubwa kuliko Yona.
1 Neno la BWANA likamjia
Yona mara ya pili, kusema, 2Ondoka,
uende Ninawi, mji ule mkubwa; ukaihubiri habari nitakayokuamuru. 3Basi
Yona akaondoka, akaenda Ninawi, kama Bwana alivyonena. Basi Ninawi ulikuwa mji
mkubwa mno, ukubwa wake mwendo wa siku tatu. 4Yona akaanza kuuingia mji mwendo wa siku moja,
akapaza sauti yake, akasema, Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa. 5Basi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu;
wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata
aliye mdogo. 6 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye
akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za
magunia, na kuketi katika majivu. 7Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji
wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu,
wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala
wasinywe maji; 8bali na wafunikwe nguo za magunia, mwanadamu na
mnyama pia, nao wakamlilie Mungu kwa nguvu, naam, na wageuke, kila mtu akaache
njia yake mbaya, na udhalimu ulio mikononi mwake. 9Ni
nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali,
ili msiangamizwe? 10Mungu
akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi
neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende.
Wimbo
wa katikati : Zab 51:1-2,10-11,16-17
Moyo
uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, Hutaudharau
Makutano walipokuwa wakimkusanyikia, alianza kusema,
Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila
ishara ya Yona. 30Maana, kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa
Waninawi, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu kwa kizazi hiki. 31Malkia wa Kusini ataondoka siku ya hukumu pamoja
na watu wa kizazi hiki, naye atawahukumu kuwa na hatia; kwa sababu yeye alikuja
kutoka ncha za dunia aisikie hekima ya Sulemani; na hapa pana mkubwa kuliko
Sulemani. 32Watu wa Ninawi watasimama siku ya hukumu pamoja
na kizazi hiki, nao watakihukumu kuwa na hatia; kwa sababu wao walitubu kwa
mahubiri ya Yona, na hapa pana mkubwa kuliko Yona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment